Vijana hao wa kikosi cha vijana wamefanya mazoezi na kaka zao ya kujiandaa na msimu mpya na mashindano ya Kagame Cup. benchi jipya la Azam FC limefurahia vipaji ilivyovikuta.
Azam FC chini ya Stewart Hall imekuwa ikijifua kujiandaa na mashindano ya Kagame Cup yatakayofanyika nchini mwezi ujao
0 Maoni:
Post a Comment