Friday, January 4, 2013

AZAM WAANZA NA SARE

Posted By: kj - 10:35 AM

Share

& Comment

Azam fc jana waliendeleza utamaduni wao wa kuanza na sare katika mashindano mbalimbali wanayopata fursa ya kushiriki baada ya jana kutoka suluhu na coasl union katika mchezo wa kwanza wa kundi b wa michuano ya mapinduzi.

Azam walanza na sare katika michuano ya ngao ya jamii ya DRC na kuishia kwenye kutwaa ubingwa hapo mwaka jana kabla ya kuanza na sare katika michuano ya kagame na kufanikiwa kutinga fainali.

Vilevile katika michuano ya mapinduzi iliyopita azam fc walianza kwa sare na kufanikiwa kutwa ubingwa ambao wameuwanza kuutetea kwa sare.

Katika mchezo huo wa jana Azam walipoteza nafasi mbili za kufunga wakati coastal wakipoteza tatu.

Aam fc ni ya pili katika kundi A akiwa nyuma ya Miembeni mwenye point 3 na magoli 4 ya kufunga akifungwa gnli 1, akiwa juu ya Coartal union mwenye point 1 kama Azam wakati Mtibwa akiburuza mkia akiwa na hana point goli 4 za kufungwa na kufunga goli 1

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.