Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa ndani ya ukurasa wa Mtibwa sugar ndani ya facebook mchezo huo umesogezwa mbele kwa siku toka kuwa jumam6si mpaka shku ya jumapili ya febuary 10.
Azam iliyo katika nafasi ya 2 ikiwa imejikusanyia jumla ya point 30 ndani ya michezo 15 itateremka katika mchezo huo bila ya beki wake wa kushoto Samih Hajji Nuhu.
Mara ya mwisho kwa azam fc kuutembelea uwanja wa manungu walikubali kichapo cha goli 1-0, kikiwa kichapo cha kwanza kwa azam kukipata katika uwanja huo wa manungu mbele ya wamiliki wa uwanja huo Mtibwa sugar.
Mtibwa sugar walilala mbele ya Polisi moro katika mchezo wa mwisho kwa mtibwa kucheza katika uwanja huo wa manungu kabla ya kwenda taifa kutoka sare na yanga.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA TATIZO YA COMPUTER YAKO
www.aboodmsuni21.blogspot.com
[+255 657 184 421]
0 Maoni:
Post a Comment