Wednesday, February 13, 2013

KUSHUHUDIA AZAM Vs AL NASRI BUKU MBILI JUMAMOSI TAIFA

Posted By: azam fans - 3:39 PM

Share

& Comment

Siku ya jumamosi ya february 16 azam fc wanacheza kwa mara ya kwanza mchezo wao wa kwanza wa kombe la shirikisho dhidi ya al nasri ya Sudan kusikini ambapo kiingilio cha chini ni tsh 2000.

Mchezo huo utakaochezwa katika uwanja wa taifa uta tanguliwa na burudani toka kwa wasanii mbalimbali wa bongo fleya wakiongozwa na wanatemeke Juma Nature na Inspector Haroun.

Burudani hizo zitaanza saa 6 mchana huku mchezo husika ukianza saa kumi alasiri.

Viingilio vya mpambano huo ni:
Viti vya Blue na green ni tsh 2000
Viti vya orange ni tsh 5000
VIP C na B ni tsh 10000
VIP A ni tsh 20000

Azam fc wanaendelea kujianda kwa mchezo huo katika uwanja wake wa azam complex uliopo Chamanzi.

NI WAKATI WETU WA KUENDA KUWASHUHUDIA MENO, UMONY NA SURE BOY

--
MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA TATIZO YA COMPUTER YAKO
www.aboodmsuni21.blogspot.com
[+255 657 184 421]

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.