Wednesday, January 16, 2013

PAZI KUJARIBU BAHATI YAKE CELTIC

Posted By: kj - 6:08 PM

Share

& Comment

Mshambuliaji wa azam fc Zahoro Iddi Pazi ametua nchini Afrika kusini kwa ajili ya kufanya majaribio ya siku kumi katika klabu ya Bloenfotein Celtic ya nchini humo.

Pazi atarejea nchini january ishirini na sita kama atashindwa majaribio yake ya siku kumi nchimi humo.

Mshambuliaji huyo wazamani wa mtibwa sugar na Africa lyon ameshapata kucheza nchini Ujerumani kabla ya kutua Azam akitokea African lyon mwanzoni mwa msimu wa 2011/12 atakuwa mchezaji wapili toka azam fc kwenda kufanya majaribio nchini Afrika kusini ikiwa ametanguliwa na John Bocco ambaye alifuzu majaribio yake ndani ya Super sport lakini wakashindwa kufikia maelewano kati ya pande zote.

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.