Tchetche atarajiwi kurejea katika michuano ya mapinduzi cup inayoendelea katika uwanja wa Aman visiwani Zanzibar kutokana na jeraha alilolipata katika mchezo wa kwanza kwa azam katika michuano hiyo ambayo azam ndiye bingwa mtetezi.
Tchetche anaungana na Waziri Salum anae uguza kidole chake, Abdulhalm Homoud aliyeumia katika kambi ya zanzibar heroes ikijiandaa na michuano ya chalenjh jijini Kampala na John Bocco katika orodha ya wachezaji waliyo majeruhi.
Bocco kwa sasa yupo India kwa ajiki ya matibabu ya jeraha alilopata akiwa anatumikia timu ya taifa, Kilimanjaro stars.
0 Maoni:
Post a Comment