Tuesday, January 8, 2013

SIMBA MDOMONI KWA AZAM NUSU

Posted By: kj - 8:49 AM

Share

& Comment

Mabingwa wa kombe la mapinduzu Azam fc watacheza na Simba sc katika uwanja wa Aman kisiwani Zanzibar january 10 katika nusu fainali ya pili ya kombe la mapinduzi linaloendelea katika visiwa vya karafuu Zanzibar.

Azam jana usiku walitoka sare ya bila kufungana na mtibwa sugar na kufanikiwa kuongoza kundi B ambapo ana kutana na mshindi wa pili wa kundi A ambaye ni simba sc.

Katika mchezo huo wa nusu fainali huenda azam fc ikakosa huduma za makipa Aish Salum na Mwadini Ally pamoja na kiungo Salum Abubakary wanaotarajiwa kusafiri na timu ya taifa hapo kesho.

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.