Tuesday, July 23, 2013

AZAM FC WATOA SARE NA CISM

Posted By: azam fans - 9:56 PM

Share

& Comment

Photo
Ibrahim Mwaipopo akimdhibiti mchezaji wa CISM leo jioni


 Mabingwa wa kombe la Mapinduzi Azam FC jioni ya leo wametoa sare na timu ya kombaini ya jeshi, CISM, mchezo uliochezwa katika uwanja wa nyasi asilia unaopatikana ndani ya Azam Complex.

Azam FC na CISM wametoka sare ya goli 1-1, wafungaji wakiwa ni Hussein Nyamandulu upande wa CISM na Tchetche Kipre kwa Azam FC

CISM inaundwa na wachezaji wa timu za Jeshi ambazo ni JKT Ruvu, Mgambo, Ruvu Shooting,Oljoro
,Transcamp, Kipanga na Rhino Rangers ipo katika maandalizi ya kushiriki Mashindano ya timu za Majeshi Afrika Mashariki yatakayofanyika August 5-17 jijini Nairobi nchini Kenya

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.