
Wakati mwingine timu hupita kwenye kipindi kigumu cha majeruhi na kupoteza mtiririko wake.... Katika kipindi kama hiki, muhimu kama timu ni kukaa pamoja, kujadili matatizo yetu pamoja na kuyafanyia kazi.
Tunaendelea kuipongeza Mtibwa Sugar na sisi tunabeba changamoto na kuzifanyia kazi.
Tutasafiri hadi Lubumbashi DRC kucheza na Zesco, TP Mazembe na Don Bosco katika kuendelea kuiandaa timu. Tumepania kufanya vema Afrika na tuna imani na makocha wetu.
Kama walifanya vizuri wakiwa na KCCA na AC Leopards kwa nini wasirudie mafanikio hayo wakiwa na sisi.
Azam FC, Tucheze pamoja kwa furaha
0 Maoni:
Post a Comment