Wachezaji hao wanne jana walionekana katika uwanja wa azam complex wakiwa jukwaani wakivalia uzi wa azam fc wakitazama mchezo kati ya timu yao na afrikan lyon.
Wachezaja hao ni Aggrey Morice, Erasto Nyoni, Said Morid, Deo Munish, wamerejeshwa kundini baada ya TAKUKURU kuwasafisha na tuhuma walizo kuwa nazo.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION (Tunarejesha uhai wa computer)
www.aboodmsuni21.blogspot.com/p/msuni-computer-solution_7934.html
0 Maoni:
Post a Comment