Sunday, January 1, 2012
Azam kuelekea Zanzibar leo
Posted By: kj - 8:04 AMKheri ya Mwaka mpya,
Leo kikosi cha Azam FC kinaenda visiwani Zanzibar teyari kwa mashindano ya Mapinduzi Cup ambayo yanatari kuanza hapo kesho january 2, huku Azam FC ikikwaana na Kikwajuni katika uwanja wa Amana.
Wakazi wazanzibar karibuni katika michezo ya Azam FC huweni namna gani timu za Bara wanavyo usaka mpira kila wanapo kutana na Azam FC katika michezo mbali mbali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

SIB 90
POPULAR
TAGS
0 Maoni:
Post a Comment