Tuesday, October 30, 2012

Hall arejea Azam FC

Posted By: azam fans - 12:33 PM

Share

& Comment

Aliyewahi kuwa kocha wa Azam FC na Zanzibar Heroes na kuipatia ubinwa wa kombe la mapinduzi Azam FC,Stewart Hall amerejeshawa katika kuliongoza benchi la ufundi la Azam FC baadas ya uongozi kusitisha mkataba na Boris Bunjak. .

"Azam FC imeamua kuvunja mkataba na kocha Boris Bunjak na kumrejesha kazini Stewart Hall, hii imetokana na Maombi na Maoni ya mashabiki pamoja na wataalam wa mambo ya ufundi mbalimbali ambao walitoa maoni kuwa ni vema tukamrejesha kocha Stewart Hall.," ilieleza taarifa katika ukurasa wa Azam FC ndani ya Facebook.

Boris Bunjakcalichukuwa mikoba ya Hall mara baada ya kwisha kwa mashindano ya kombe la kagame ambapo Azam FC alifungwa na Yanga katika mchezo wa Fainali na Yangaa, ambapo chini ya Boris BunjakAzam Fc imefanikiwa kucheza michezo nane ya ligi kuu bila kupoteza na kufungwa mchezo mmoja dhidi ya Simba SC.

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.