Wednesday, July 30, 2014

ACADEMY WALIVYOKABIDHIWA KIKOMBE CHA UBINGWA WAROLLINGSTONE

Posted By: Unknown - 5:22 AM

Share

& Comment

Mabingwa; Wachezaji wa Azam FC wakisherehekea na Kombe lao la ubingwa wa michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa nchi za Maziwa Makuu, maarufu kama Kombe la Rollingston walilokabidhiwa baada ya kufunga Twalipo mabao 2-0 katika fainali Uwanja wa Karume, Dar es Salaam jioni ya leo.
Mgeni rasmi, Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA), Almasi Kasongo kulia akimkabidhi Kombe, Nahodha wa Azam FC, Hans Mgaya
Kikosi kizima cha Azam FC na Kombe lao
Katibu wa Azam FC, Nassor Idrisa 'Father' akimkabidhi Nahodha wa Champion, Kombe la ubingwa wa vijana chini ya umri wa miaka 15 

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.