Michuano ya Kombe loa Kagame inayoshirikisha Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, itafanyika jijini hapa Julai mwaka huu.
Jaffar Idd Maganga, msemaji wa Azam FC, amesema kikosi chao kitaingia kambini Juni 15 ikiwa ni siku saba baada ya makocha wao wapya kuripoti kutoka Uingereza.
0 Maoni:
Post a Comment