Thursday, May 28, 2015

AZAM KUANZA KAMBI YA KAGAME JUN 15

Posted By: Unknown - 6:25 AM

Share

& Comment

BAADA ya kufanikiwa kumrejesha kocha mkuu Muingereza Stewart John Hall, kikosi cha Azam kitaingia kambini jijini Dar es Salaam Juni 15 kujiandaa kwa ajili ya michuano ya Kombe la Kagame.

Michuano ya Kombe loa Kagame inayoshirikisha Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, itafanyika jijini hapa Julai mwaka huu.

Jaffar Idd Maganga, msemaji wa Azam FC, amesema kikosi chao kitaingia kambini Juni 15 ikiwa ni siku saba baada ya makocha wao wapya kuripoti kutoka Uingereza.

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.