Wednesday, December 5, 2012

AZAM KUELEKEA KIONSHASA

Posted By: kj - 10:06 AM

Share

& Comment

 
Azam FC inatarajia kuelekea Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tarehe 13-23 mwezi huu kushiriki mashindano ya Ngao ya Jamii (Charity Cup)

Mashindano hayo ambayo yatashirikisha timu kubwa za kutoka Kongo kama DCMP na AS Vita Club timu kutoka nje ya kongo kama Azam FC, Tusker FC, Gombe United ya Nigeria na Diable Noirs na Congo Brazavile yatatumika na Azam FC kama maanadalizi ya Confederations Cup
Azam FC inahitaji maandalizi na mechi nyingi za kirafiki nje ya Tanzania ili kupata uzoefu kabla ya kushiriki Confederations Cup. Kwa maana hiyo hii ni nafasi muhimu sana kwa Azam FC

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.