Tuesday, March 12, 2013

KUTOKAKWABINZUBEIRY, AZAMWAKIPASHALEO

Posted By: kj - 12:52 PM

Share

& Comment

Wachezaji wa Azam FC, wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Raundi ya Pili ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) mwishoni mwa wiki dhidi ya Barack Young Controller nchini Liberia. Azam inatarajiwa kuondoka kesho.

Seif Abdallah juu kabisa aliyepiga kichwa mpira (haupo pichani), chini yake Himid Mao na kushoto John Bocco 'Adebayor' katika mazoezi ya Azam viwanja vya Gymkhana leo asubuhi

Beki David Mwantika akimiliki mpira mbele ya kiungo Abdulhalim Humud 'Gaucho'

Kipre Tchetche kulia akizungumza na Brian Umony kushoto

Khamis Mcha 'Vialli' kushoto akitafuta mbinu za kumtoka Omar Mtaki kulia

Kocha Muingereza, Stewart Hall kushoto akitoa maelekezo kwa vijana wake wakati wa mazoezi

Hapa ni wakati wa mazoezi ya nguvu, ambayo huongozwa na Ibrahim Shikanda

Jabir Aziz Stima akinyoosha mgongo kwa kulalia mpira

Mchezaji mwenye mashuti makali, Abdi Kassim 'Babbi' akinyoosha viungo

John Bocco 'Adebayor' akinyoosha viungo

Kipre Tchetche akinyoosha viungo

Beki Joackins Atudo a

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.