Mchezo huo umerudishwa siku moja ilikuipa fursa Azam kujiandaa kwa mechi ya marudiano ya kombe la shirikisho dhidi ya AS FAR Rabat ya Moroco.
Mechi hiyo itachezeshwa na Andrew Shamba kutoka Pwani akisaidiwa na Abdallah Mkomwa wa Pwani na Vicent Mlabu wa Morogoro, wakati mwamuzi wa mezani atakuwa Mohamed Mkono wa Tanga na Charles Komba wa Dodoma atakuwa Kamishna.
Baada ya mechi Azam itarejea Dar es Salaam siku inayofuata tayari kwasafari yakwenda Rabat april 28 wakati mechi yao itachezwa kati mei 3 ,4 na 5 mwaka huu.
0 Maoni:
Post a Comment