50,850,000.
Fedha hizo katika mechi hiyo iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa na kumalizika kwa timu hizo kutoka suluhu zimetokana na watazamaji 8,268 waliokata tiketi.
Viingilio vilikuwa sh. 5,000 sh 10,000, sh 15,000, sh 20,000 na sh 30,000.
Mgawo ulikuwa kama ifuatavyo; gharama za tiketi sh.
5,575,500, asilimia 15 ya uwanja sh. 6,791,175, asilimia 10
ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) sh. 4,527,450 na asilimia 75 iliyokwenda kwa klabu ya Azam ni sh. 33,955,875.
0 Maoni:
Post a Comment