Katika mazoezi hayo jana yalishuhudia urejeo wa nahodha wa azam fc, John Raphael Bocco aliyekuwa majeruhi kwa takribani miezi minne.
Azam fc wako Uganda kwa ajili ya michezo ya kirafiki ya kimataifa, ambapo wanataraji kurejea nchini desemba 22 wakiwa teyari kuwakabili yanga desemba 28 katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.
0 Maoni:
Post a Comment