
Salum Aboubakari ambaye ametoa mchango mkubwa kwa Azam FC katika harakati za kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara ametajwa katika tuzo hizo ambazp zinafanyika kwa mara kwanza.
Mwisho wa kupiaga kura ni siku ya ijumaa ya desemba 5 mwaka huu, kutaka kumpiagia kura Salum aboubakari tembela link hii http://www.goal.com/en-tz/news/5819/tanzania-player-of-the-year/2014/12/01/6661701/revealed-the-five-nominees-for-the-goal-tanzania-player-of?ICID=SP mwisho wa post kuna sehemu ya kupiga kura, unachotakiwa ni kubofya jina la mchezaji unaemuona anafaa kuwa mchezaji bora wa Tanzania mwaka 2014
0 Maoni:
Post a Comment