
Nnje ya hao kumi waengine wawii wameitwa katika mataifa yao, ambao ni Didier Kavumbagu akiitwa katika kikosi cha Burundi na Brianv Majegwa akijumuishwa katika kikosi cha Uganda.
Kutokana na hali hiyo kumepelekea mchezo kati ya Azam FC na Mgambo shooting uliokuwa uchezwe siku ya jumatano marchi 25 kusogezwa mbele.
Wakati huo huo kikosi cha Azam FC kimewasili salama jijini Dar es slaam wakitokea Mkoani Tanga kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu ya vodacom uliochezwa hapo jana.
Kwa niaba ya uongozi afisa habari wa Azam FC Japhari Iddi Maganga amewashukuru mashabiki wa Azam fcwaliojitokeza katia uwanja wa Mkwakwani na kuwataka waendeleee kujitokeza katika michezo mingine.
Hii ni mara ya pili mchezo huo wa mzunguko wa kwanza kati ya Azam FC na Mgambo shooting kushindwa kufanyika na kusogezwa mbele.
SIB 90
POPULAR
TAGS
0 Maoni:
Post a Comment