Amme ameungana na wenzake na kupiga matizi kujiandaa na mashindano ya kombe la Kagame. Jezi hiyo ndiyo atakayochezea michuano mbalimbali watakayoshiriki, lakini akatamka maneno mazito sana.
Mchezaji huyo ambaye ni mshambuliaji, amesema ana kila sababu ya kujituma kwa nguvu zote ili Azam ifanikiwe na hakuna kisingizio kwa sababu kila kitu anachotakiwa awenacho mchezaji wa kisasa kipo.
"Azam hii kweli ni profesheno, kuna kila kitu ambacho mchezaji wa kisasa anatakiwa kuwa nacho, gym, bwawa la kuogelea, viwanja yaani mchezaji ushindwe mwenyewe,"alisema Ame.
"Hivyo, nina kila sababu ya kufanya vizuri kuhakikisha Azam inasonga na isijutuie uamuzi
0 Maoni:
Post a Comment