Kwa mujibu ya makundi yaliyotangazwa hii leo, Azam FC watakuwa katika kundi moja na KCC kama ilivyokuwa katika kombe la mapinduzi mapema mwaka huu ambapo mchezo ulimalizika kwa sare.
Azam FC nnje ya KCCA vilevile katika kundi lao linahusisha Malakia na Adama City, ambapo michuano hiyo inataraji kuanza katikati ya mwezi huu katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.
MAKUNDI CECAFA KAGAME CUP:
KUNDI AYanga ( Tanzania)
Gor Mahia ( Kenya)
Khartoum ( Sudan)
Telecom ( Djibout)
KMKM ( Zanzibar )
KUNDI B
APR( Rwanda)
Al Shandy ( Sudan)
LLB ( Burundi)
Elman ( Somalia)
KUNDI C
Azam (Tanzania)
Malakia ( South Sudan)
KCC ( Uganda)
Adama City ( Ethiopia)
0 Maoni:
Post a Comment