Wednesday, August 19, 2015

AZAM FC KUFUNGUA NA PRISONS, MICHEZO 15 YA MWANZO YA AZAM FC HII HAPA

Posted By: kj - 7:06 PM

Share

& Comment

Mabingwa wa Kagame Cup Azam FC watafungua pazi ya ligi kuu ya vodacom msimu wa 2015/16 kwa kuwakaribisha Tanzania Prisons katika uwanja wa Azam Complex katika siku ya kwanza ya lgi kuu ya vodacom msimu wa 2015/16 september 12.

Ratiba iliyotolewa leo na bodi ya ligi inaonyesha Azam FC watafungua na Tanzania Prisons september 12 kabla ya kusafiri kwenda mkoani shinyanga kuwakabili Stand united na Mwadui FC september 16 na 20 mwaka huu.

RATIBA YA MICHEZO YA AZAM FC IKO HAPO CHINI



0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.