![]() |
Saad Kawemba akiwapokea makocha wanaotarajiwa kuridhi mikoba ya kocha Stewart John Hall mara baada ya msimu kumalizika. Makocha hao wote wanatoa nchini Hispania na waliwasilianchini hapo jana n a kesho watakuwa katika uwanja wa CCM Mkwakwani kuishuhudia Azam FC ikicheza dhidi ya African Sports |

0 Maoni:
Post a Comment