Monday, September 4, 2017

TFF YAIDHINISHA UWANJA WA AZAM COMPLEX DHIDI YA SIMBA NA YANGA

Posted By: Unknown - 5:47 PM

Share

& Comment


Shirikisho la soka nchini TFF limebaliki kutumika kwa  uwanja wa Azam Complex katika mcichezo inayo husisha Azam FC dhidi ya Simba na Yanga pale Azam FC inapokuwa mwenyeji katika michezo ya ligi kuu ya vodacom.

Mchezo wa kwanza wa Azam FC dhidi ya timu hizo kongwe kuchezwa katika uwanja wa Azam Complex utakuwa dhidi ya Simba SC utakao fanyika jumamosi ya september 9 mwaka huu saa moja usiku

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.