Saturday, January 28, 2012

Nyoni apata msiba

Posted By: azam fans - 10:37 PM

Share

& Comment


Nachukua fursa hii kwa masikitiko makubwa kuwaarifu mashabiki wote wa Azam FC na soka la Tanzania kwa ujumla kuwa mama wa beki mahiri watimu yetu ya Azam na timu ya Taifa Erasto Nyoni, hatuko nae tena.

Kwa taarifa zilizosikika katika kipindi cha Sports xtra kinacho rushwa na Clouds FM msiba huo umetokea leo.

Azam Fans Club tunampa pole na kuungananae katika kipindi hiki kigumu alichonacho ndugu yetu Erasto Nyoni.

Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu.

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © 2025 CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.