Friday, August 10, 2012

Kutoka katika ukurasa wa Azam: Redondo ajumuishwa kwenye kikosi

Posted By: azam fans - 9:57 PM

Share

& Comment

Azam FC inapenda kuwataarifu Mashabiki wake wote kuwa Hakuna Shaka wala Mushkeli (kisheria PASI-NASHAKA) kwenye mkataba na usajili wa Ramadhan Chombo Redondo.
Kikosi cha wachezaji 30 tuliowasajili msimu ujao ni kama waliopo hapa chini


1 MWADINI Ally
2 NUHU Samih
3 MWAIPOPO Ibrahim
4 KAKOLAKI Luckson
5 NYONI Erasto
6 ODHIAMBO George
7 SALUM Abubakar
8 ZAHORO Pazi
9 KIPRE-TCHETCHE
10 MWAIKIMBA Gaudence
11 OWINO Joseph
12 AGGREY Morris
13 GHULAM Abdallah
14 MORADI Said
15 Omary Mtaki
16 CHOMBO Ramadhan
17 FRED Cosmas
18 BOCCO John
19 KASSIM Abdi
20 SHIKANDA Ibrahim
21 MCHA KHamis
22 HIMID Mao
23 HUMUD Abdulhalim
24 JABIR Aziz
25 WAZIRI Salum
26 KIPRE-BOLOU
27 MUNISHI Deogratius
28 IBRAHIM Rajab
29 Sunday Frank
30 WANDWI Jauckson

1 Maoni:

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.