Tuesday, March 19, 2013

AZAM WAMEWASILI LEO,

Posted By: azam fans - 6:07 PM

Share

& Comment

Wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano inayoandaliwa na shirikisho la soka barani Afrika 'CAF' kwa ngazi ya vilabu, azam fc wamewasili leo jijini Dar es salaam kwa makundi wakitokea Liberia walipo ibuka na ushindi wa goli 2-1.

Msafara wa Azam fc ulibidi urejee kwa makundi jijini Dar es salaam baada ya kuwasili katika jiji la Nairobi na kukuta ndege ya kuwatoa Nairobi kuja Dar es salaam kuwa haina nafasi ya kuwachukuwa wote hivyo ikawabidi watoke Nahrobi kwa makundi.

Kundi la kwanza liliwasili saa mbili asubuhi huku la pili likiwasili mchana salama.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA TATIZO YA COMPUTER YAKO
www.aboodmsuni21.blogspot.com
[+255 657 184 421]

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.