Thursday, March 21, 2013

RAGE AUNGANA NA KIKWETE KATIKA KUIPONGEZA AZAM FC

Posted By: azam fans - 10:32 PM

Share

& Comment

Mwenyekiti wa Simba sc Isamail Aden Rage ameungana na Raisi wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete katika kuipongeza azam fc kwa kufungua azam stadium complex iliopo Mbande jijini Dar es salaam.

Rage akizungumza kutokea nchini India leo alitoa pongezi kwa azam fc kuonyesha njia kwa kuwa wa mwanzo kuwa na complexs ya mchezo ambapo kwa kiasi kikubwa awamu ya kwanza imekamilika ambapo inataraji kuisha mwezi wa sita mwaka huu na mwakani kuanza awamu ya pili.

Raisi Kikwete ndie aliyezindua azam stadium complex hii leo, huku akiangalia namna ya kampuni ya SSB ilivyowekeza katika soka kupitia timu yao ya Azam fc.

kujua nini kilicho zungumzwa leo katika uzinduzi huo, twa waomba mtembelee katika mitandao ya www.azamfc.co.tz www.shaffihdauda.com www.jembesalehe.blogspot.com na blog ya BIN ZUBEIRY

Tunaomba mtiwie radhi kwa kushindwa kukuleteeni yaliyozungumzwa katika uzinduzi huo.
--
MSUNI COMPUTER SOLUTION (Tunarejesha uhai wa computer)
www.aboodmsuni21.blogspot.com/p/msuni-computer-solution_7934.html
[+255 657 184 421]

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.