Saturday, March 16, 2013

SURE BOY KUWAKOSA BYC, KISS FM KUWA HEWANI

Posted By: azam fans - 1:09 AM

Share

& Comment

Wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano inayoandaliwa na shirikisho la soka Afrika 'CAF', Azam fc wanaendelea vyema na maandalizi ya mchezo wa awali hatua ya pili ya kombe la shirikisho dhidi ya Barrack YC II jumapili machi 16 katika mji wa Monerivo Liberia.

Azam fc leo wamefanya mazoezi katika uwanja utakao tumiwa katika mchezo huo wa jumapili utakao tangazwa moja kwa moja kupitia kituo cha KISS FM.

Katika mchezo huo wa jumapili azam fc watakosa huduma za kiuongo Salum Aboubakary 'Sure boy' aliyeachwa jijini Dar es salaam baada ya kuuguwa khafla malaria.

Katika hatua nyingine azam fc wameikataa hoteli iliyoandaliwa na wenyeji wao na kuamua kuchukuwa hoteli nyingine.


--
MSUNI COMPUTER SOLUTION NDIO SULUHISHO LA TATIZO YA COMPUTER YAKO
www.aboodmsuni21.blogspot.com
[+255 657 184 421]

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.