Friday, December 20, 2013

MABORESHO AZAM COMPLEX YAENDELEA, SHIRIKISHO HUENDA IKAPIGWA CHAMAZI

Posted By: azam fans - 5:58 AM

Share

& Comment

Mafundi wakiendelea na zoezi la uwekaji wa viti vya kisasa katika majukwaa ya Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi, Dar es Salaam. Klabu ya Azam inataka kuutumia Uwanja huo kwa michuano ya Afrika pia mwakani na inapambana na muda kuhakikisha uboreshaji unakamilika mapema ili mechi zake za Kombe la Shirikisho icheze hapo mwakani.

Siti za kulala
Hiki ni moja ya vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya timu, unaweza kujionea ni cha kisasa kabisa
Mafundi wamemaliza kazi ya kupaka rangi na sasa mabinti wanafanya usafi
Chumba cha mikutano, ni cha hadhi ya juu

Eneo hili ndilo timu zitakuwa zinatokea kuingia uwanjani

CHANZO: BIN ZUBEIRY BLOG

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.