Sunday, November 23, 2014

AZAM KUANZA MAANDALIZI YA MWENDELEZO YA KUWINDA TAJI LA PILI

Posted By: Unknown - 1:51 PM

Share

& Comment

Mabingwa wa ligi kuu ya vodacom Azam FC wanataraji kuanza maandalizi ya kuendelea kuwinda taji la pili la ligi ku ya Tanzania bara hapo kesho.

Wachezaji wa Azam FC walipewa mapumziko ya wiki mbili baada ya ligi kusimama mabapo inatarajia kuendelea tena desmber 26 mwaka huu.

"Baada ya kuwa kwenye mapumziko ya takribani wiki mbili, timu ya Azam inatarajia kuanza mazoezi yake kuanzia kesho asubuhi kwenye dimba la Azam Complex, Jijini Dar es Salaam." imeeleza taarifa ya Azam FC katika ukurasa wao wa Facebook.
 https://m.ak.fbcdn.net/photos-b.ak/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-0/s320x320/1233360_862655383774819_3642330963116982667_n.jpg?oh=177ad23117936b06112a05049612b237&oe=54DBE11E&__gda__=1428038199_586d91746311e2021488f2eb55b5685c
Mpaka ligi inasimama Azam FC walikuwa katika nafasi ya 2 baada ya kushuka uwanjani mara 7 na kuksanya pointi 13 baada ya kupata ushindi katika michezo minne na sre mmoja huku wakipoteza michezo miwili.

Ligi kwa sasa inaongoza na Mtibwa Sugar wenye pointi 15 ambapo mpaka ligi inasimama walikuwa bado hawaja poteza mchezo wowote ule.


0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.