
Kiemba ambaye amekuwa akivumishwa kujiunga na Azam FC toka klabu yake ya Simba SC ilipo msimamisha kutokana na kucheza chini ya kiwango na hii leo ameonekana kwenye mazoezi ya Azam FC ikiwa ni siku ya kwanza ya mazoezi ya timu hiyo.
Mpaka sasa mtandao huu hauja pata taarifa ya kukamilika kwa dili la Kiemba kuamia Azam FC ila mtandao huu unafahamu kuwa Kiemba, Simba SC na Azam FC walikuwa kwenye maongezi ya kukamilisha dili hili
0 Maoni:
Post a Comment