Sunday, November 9, 2014

PICHA: ZAM FC Vs COASTAL UNION

Posted By: Unknown - 9:56 AM

Share

& Comment

Beki wa Coastal Union, Tumba Swedi kushoto akipiga mpira mbele ya mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 2-1
Beki wa Azam FC, Gardiel Michael akimtoka beki wa Coastal, Mbwana Hamisi KIbacha aliyelala chini
Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado akiwa ameruka juu kuondosha hatari langoni mwake jana
Beki wa Coastal, Sabir Rashid akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche
Kiungo wa Azam FC, Kipre Balou akipiga mpira mbele ya mshambuliaji wa Coastal, Bright Obinna 
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao (kushoto) akipambana kumtoka Kenneth Masumbuko wa Coastal jana


PICHA ZOTE KUTOKA KWA BIN ZUBEIRY BLOG

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.