Friday, December 5, 2014

ACADEMY WAWAENYESHA KAKA ZAO, JAPO WALIFUNGWA GOLI 1

Posted By: Unknown - 9:46 PM

Share

& Comment

IMEKOPIWA KUTOKA KWA BIN ZUBEIRY BLOG
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao akipambana na mchezaji wa Azam Academy, Rashid Said katika mchezo wa kirafiki baina ya timu jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 1-0, bao pekee la Salum Abubakar 'Sure Boy' dakika ya 47.
Mshambuliaji mpya wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Senale Bamba akimtoka Omar Wayne wa Azam Academy
Kipre Balou wa Azam FC akimiliki mpira mbele ya Masoud Abdallah wa Academy
Didier Kavumbangu wa Azam FC akimtoka Yohana Nkomola wa Academy
Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Academy
Amri Kiemba akiwatoka wachezaji wa Academy

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.