
Pia itawafanya wanachama kuwa wateja wa nmb moja kwa moja,Leo kwa kuanzia zitatolewa kadi 100 kwa mashabiki wa timu hiyo.

Mgeni wa heshima kwenye hafla hiyo naibu waziri wa michezo mh Juma Nkamia amesema umefika muda wa kuondokana na zama za kushabikia vilabu vya simba na yanga pekee. pia amesisitiza w atanzania wazisapoti klabu za yanga na azam kwenye michezo yao ya kimataifa
0 Maoni:
Post a Comment