Thursday, February 26, 2015

AZAM FC KATIKA UWANJA WA JESHI SUDAN

Posted By: Unknown - 11:32 AM

Share

& Comment

KUTOKA BLOG YA BIN ZUBEIRY
Mabeki wa Azam FC, Serge Wawa Pascal (kushoto) na Said Mourad (kulia) wakijiandaa kwa mazoezi jana Uwanja wa jeshi nchini Sudan. Azam FC waliwasili usiku wa kuamkia jana mjini Khartoum, Sudan kwa ajili ya mchezo wa marudiao Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, El Merreikh mwishoni mwa wiki.
Wachezaji wa Azam wakijiandaa kwa mazoezi jana

Makocha wa Azam FC kutoka kushoto, George 'Best' Nsimbe (Msaidizi), Joseph Marius Omog (Mkuu), Ibrahim Shikanda (Msaidizi wa pili) na Iddi Abubakar wa makipa wakiwa katika kikao

Wachezaji wakifanya mazoezi mepesi Uwanja wa Jeshi

Beki tegemeo la timu, Aggrey Morris akijiandaa

Wachezaji wanaaonekana wapo katika hali nzuri kuelekea mchezo huo

0 Maoni:

Post a Comment

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.