Kwa mujibu wa kauli ya meneja wa Azam FC Jemedari Said alipokuwa anahojiwa na kituo kimoja cha redio nchini amesema kuwa msafara huo utakuwa na wachezaji 21 pamoja na viongozi 8 wa benchi la ufundi.
Azam fc wanahitaji sare ya aina yoyote ile ili iingie katika hatua ya kwanza ya michuano hiyo, ikiwa ni baada ya kuibuka na ushindi wa goli 2-0 katika uwanja wa azam complexs.
0 Maoni:
Post a Comment