
Vile vile na wapongeza wachezaji wa Azam FC kwa kuhakikisha tunaendeleza rikodi ya kutoruhusu nyavu zetu kuguswa katika dakika 90 za mchezo, Tujipange kwa ajili ya msimu wa ligi kuu ya vodacom abapo mchezo wa kwanza utachezwa september 12 mwaka huu.
Kila la Kheri Azam FC katika maandalizi ya mwisho mwisho ya ligi kuu, na hongera Yanga kwa kutwaa Ngao ya Jamii.
0 Maoni:
Post a Comment