Wednesday, October 21, 2015

AZAM KUFANYA MAZOEZI NANGWANDA LEO

Posted By: kj - 1:04 PM

Share

& Comment

Kikosi cha timu ya Azam FC leo saa 10 jioni kitafanya mazoezi yake ya kwanza mkoani Mtwara kabla ya kuivaa Ndanda FC kesho,

Wachezaji waliopo na timu mkoani Mtwara wapo katika hali nzuri na wamehamasika kuondoka na pointi tatu muhimu mkoani Mtwara mara baada ya kikao kifupi na benchi la ufundi cha kuwekana sawa kilichofanyika mara baada ya mazoezi ya jana Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka.

1 Maoni:

  1. Good thing to hear. Practice makes perfect :)

    ReplyDelete

Copyright © CHAMA LANGU NI AZAM FC™ is a registered trademark.

Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.