
Wachezaji waliopo na timu mkoani Mtwara wapo katika hali nzuri na wamehamasika kuondoka na pointi tatu muhimu mkoani Mtwara mara baada ya kikao kifupi na benchi la ufundi cha kuwekana sawa kilichofanyika mara baada ya mazoezi ya jana Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka.
SIB 90
POPULAR
TAGS
Good thing to hear. Practice makes perfect :)
ReplyDelete